Habari za Punde

Makamu wa Rais Mhe Dkt.Mpango Ziarani Mkoani Kigoma leo 14/12/202.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akisalimiana na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Kigoma mara alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kigoma leo desemba 14,2021 kwaajili ya ziara ya kikazi katika mkoa huo.


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.