RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi akiteta jambo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Mhe. Kassim Majaliwa wakiwa katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini
Dodoma kabla ya kuaza kwa Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi
kilichotanguliwa na Semina ya Sensa ya Watu na Makaazi Tanzania
WAJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa wakiwa katika ukumbi wa mkutano wa Jakaya Kikwete Jijini
Dodoma,wakishiriki katika Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kilichotanguliwa na
Semina ya Sensa ya Watu na Maakazi Tanzania, wa kwanza Makamu wa Rais wa
Tanzania Mhe.Dkt.Philip Mpango, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe.Kassim
Majaliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla, wakiwa
wamesimama wakati Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa amae pia ni Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika
ukumbi
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi ambae pia ni
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akiwa katika
ukumbi wa mkutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma na (kulia kwake) Makamu
Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe. Ali Mohamed Shein na
(kushoto kwake) Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg. Daniel Chongolo, wakiwa
katika ukumbi wa mkutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma, wakati wa hafla ya
Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi kilichotanguliwa na Semina ya
maandalizi ya Sensa ya Watu na Makaazi Tanzania
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi ambae pia ni
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akiongoza na
Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, kilichofanyika katika ukumbi wa Jakaya
Kikwete Jijini Dodoma na kutanguliwa na Semina ya Sensa ya Watu na Makaazi
Tanzania.
WAJUMBE wa Kikao cha Halmashari Kuu ya Chama Cha
Mapinduzi wakiwa katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma, wakimsikiliza
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania.Mhe.Samia Suluhu Hassan.(hayupo pichani) akiongoza Kikao
hicho cha kawaida kilichotanguliwa na Semina ya Sensa ya Watu na Makaazi
Tanzania 2022
KAMISAA wa Sensa ya Watu na Makaazi Tanzania
Mhe.Anna Makinda akizungumza wakati wa Semina ya Sensa na Makaazi Tanzania
iliowashirikisha Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)
kilichofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma leo 18-12-2021
MTAKIMWI Mkuu wa Serikali Dkt.Albina Chuwa
akiwasilisha Mada ya zoezi la Sensa ya Watu na Makaazi Tanzania 2022, wakati wa
Semina hiyo kwa Wajumbe wa Kikao cha Halmashairi Kuu ya Chama Cha Mapinduzi
iliyofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma, iliyofanyika kabla
ya kuaza kwa Kikao cha kawaida cya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi
WAJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Taifa wakiwa katika ukumbi wa mkutano wa Jakaya Kikwete Jijini
Dodoma,wakishiriki katika Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kilichotanguliwa na
Semina ya Sensa ya Watu na Maakazi Tanzania, wa kwanza Makamu wa Rais wa
Tanzania Mhe.Dkt.Philip Mpango, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe.Kassim
Majaliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla, wakiwa
wamesimama wakati Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa amae pia ni Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika
ukumbi
No comments:
Post a Comment