RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi katika Sala ya
kuusalia mwili wa Marehemu Issa Kassim Issa (Baharia) Mjumbe wa Kamati ya Siasa
ya Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Kusini Unguja, aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo
la Mpendae Zanzibar, iliofanyika katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Uroa Wilaya ya
Kati Mkoa wa Kusini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Naibu Mufti
Mkuu Sheikh Mahmoud Mussa Ngwali , baada ya kumalizika kwa sala ya kuusalia
mwili wa Marehemu Issa Kassim Issa,(Baharia) Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya
Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Kusini Unguja aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la
Mpendae Zanzibar, iliofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Uroa Wilaya ya Kati Mkoa
wa Kusini Unguja.
BAADHI ya Viongozi wa Serikali na Vyama vya
Siasa wakiitikia dua ikisomwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Mahmoud
Mussa Ngwali baada ya kumalizika kwa Sala ya kuusalia mwili wa Marehemu Issa
Kassim Issa (Baharia) aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mpendae Zanzibar,
iliyofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Kijiji cha Uroa Wilaya ya Kati Mkoa wa
Kusini Unguja.
WANANCHI wakiwa wamebeba jeneza likiwa na mwili
wa Marehemu Issa Kassim Issa (Baharia) baada ya kumalizika kwa Sala na dua ya
kumuombea marehemu iliofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Kijiji cha Iria Wilaya
ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja
WANANCHI wakiwa wamebeba jeneza likiwa na mwili
wa Marehemu Issa Kassim Issa (Baharia) baada ya kumalizika kwa Sala na dua ya
kumuombea marehemu iliofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Kijiji cha Iria Wilaya
ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiweka mchanga katika kaburi la Marehemu
Issa Kassim Issa (Baharia) aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mpendae Zanzibar,
baada ya kuwekwa mwili wa marehemu, maziko yaliyofanyika katika makaburi ya
familia katika Kijiji cha Pongwe Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Sheikh Kombo Hassan
Ali, baada ya kumalizika kwa maziko ya Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Halmashauri
Kuu ya CCM Mkoa wa Kusini Unguja Marehemu Issa Kassim Issa aliyewahi kuwa
Mbunge wa Jimbo la Mpendae Zanzibar.maziko hayo yamefanyika katika makaburi ya
familia Kijiji cha Pongwe Wilaya ya Kati Unguja.
WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wakiitikia dua
ikisomwa na Sheikh Twaha Hassan Ali (hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa
maziko wa Marehemu Issa Kassim Issa Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Halmashauri
Kuu ya CCM Mkoa wa Kusini, aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mpendae Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Sheikh
Abdulazazi Saleh Juma,(hayupo pichani) alipofika nyumba kwa marehemu katika
Kijiji cha Uroa kutowa mkono wa pole kwa familia.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akiwa
na Vizuka wa Marehemu Issa Kassim Issa, aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mpendae
Zanzibar,wakiitikia dua ikisomwa na Sheikh.Abdulazizi Saleh Juma,(hayupo
pichani) baada ya kutowa mkono wa pole kwa Familia ya alipofika nyumbani kwa
marehemu Kijiji cha Uroa.
No comments:
Post a Comment