Habari za Punde

DC Micheweni asaidia maji kijiji cha mnarani Makangale

BAADHI ya Mdumu na Ndoo za Maji za wananchi wakijiji cha Mnarani Makangale, zikiwa kwenye foleni na kusubiri huduma ya maji inayopelekwa kwa kutumia gari la maji, kutoka kwa Mkuu wa Wilaya hiyo kwa ajili ya wananchi hao, baada ya kukosa huduma hiyo kwa muda mrefu.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKUU wa Wilaya ya Micheweni Mgeni Khatib Yahya akijaza maji katika baadhi ya ndoo za wananchi wa kijiji cha mnarani Makangale, kufuatia wananchi hao kukosa huduma hiyo kwa muda mrefu na kulazimika kuwapelekea gari la maji kila muda ili waweze kupata huduma hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.