Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, leo tarehe 26 Januari, 2022 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam.
NIDA YARUHUSU NDUGU JAMAA KUCHUKULIANA KITAMBULISHO CHA TAIFA, YAWATOA HOFU
WANANCHI KUFUNGIWA NAMBA
-
Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, James Kaji akizungumza na waandishi wa habari
jijini Dar es Salaam leo Januari 21,2025. kuhusiana na masuala mbalimbali
ya Vitam...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment