Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, leo tarehe 26 Januari, 2022 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam.
BREAKING: MCHEZAJI WA LIVERPOOL DIOGO JOTA AFARIKI DUNIA
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
MSHAMBULIAJI wa timu ya Liverpool na timu ya taifa ya Ureno Diego Jota
amefariki dunia kufuatia ajali mbaya ya gari iliyoto...
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment