Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, leo tarehe 26 Januari, 2022 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam.
DC MOYO AMUOKOA DIWANI WA CCM MIKONONI MWA WANANCHI ILOLO MPYA IRINGA
-
Aliyesimama mi Diwani wa kata ya Ilolo Mpya Fundi Mihayo akijibu hoja za
wananchi mbele ya mkuu wa wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo wakati wa
mku...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment