Habari za Punde

Mhe. Rais Samia apokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais Yoweri Museven wa Uganda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni uliowasilishwa kwake na Mjumbe Maalum ambae pia ni Waziri wa Ulinzi wa Uganda Mhe. Vicent Bamulangaki Sempijji, mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma leo tarehe 17 Januari, 2022.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mjumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni ambae pia ni Waziri wa Ulinzi wa Uganda Mhe. Vicent Bamulangaki Sempijji, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma leo tarehe 17 Januari, 2022.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.