Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni uliowasilishwa kwake na Mjumbe Maalum ambae pia ni Waziri wa Ulinzi wa Uganda Mhe. Vicent Bamulangaki Sempijji, mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma leo tarehe 17 Januari, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mjumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni ambae pia ni Waziri wa Ulinzi wa Uganda Mhe. Vicent Bamulangaki Sempijji, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma leo tarehe 17 Januari, 2022.
Wakulima wa Ngano Wilayani Monduli Walilia Soko la Jumla la zao hilo.
-
Na Jane Edward, Arusha
Wakulima wa zao la ngano wilayani Monduli, mkoa wa Arusha, wameiomba
serikali iwasaidie kuwatafutia soko la jumla ili waweze kunufa...
45 minutes ago
No comments:
Post a Comment