Habari za Punde

Mwenyekiti wa Bodi ZAWA afika Pemba kujitambulilsha

WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) afisi ya Pemba, wakifuatilia mkutano wa Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi wa ZAWA, alipokuja kujitambulisha Pemba kwa wafanyakazi wa Afisi hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

MKURUGENZI Mkuu Mamlaka ya maji Zanzibar (ZAWA), Mhandisi  Dkt.Salha Mohamed Kassimi, akizungumza katika mkutano wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Zanzibar na Wafanyakazi wa Ofisi ya Pemba, huko machomanne Mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) Balozi Mstaafu wa Tanzania na Meja Jenerali Mstaafu Issa Suleiman Nassor, akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka hiyo kwa mara ya kwanza Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

MMOJA ya wafanyakazi wa ZAWA Pemba Miraji Ali Mohamed, akiuliza swali katika mkutano wa Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya ZAWA zanzibar, mkutano uliofanyika katika ofisi hizo Machomanne Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.