MRATIB wa Taasisi ya Milele Zanzibar Foundation
Pemba Abdalla Said Abdalla, akizungumza katika hafla ya kuwapongeza wanafunzi
waliofaulu Mchipuo na Vipawa maalumu kutoka skuli nne, ambazo zimefanya vizuri
kutoka katika shehia zinazonufaika na miradi ya Milele, hafla iliofanyika
mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN,PEMBA)
MKUU wa Miradi kutoka Taasisi ya Milele Zanzibar Khadija
Ahmed Shariff, akizungumzia mikakati ya Milele Zanzibar katika kusaidia jamii,
wakati wa hafla ya kuwapongeza wanafunzi 64 waliofaulu mchipuo na vipawa,
kutoka katika skuli zilizofanya vizuri ambazo zinanufaika na miradi ya Milele hafala
iliofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA
ABDI SULEIMAN,PEMBA)
KAIMU Afisa Mdhamini Wizara ya Elimu na Mafunzo ya
Amali Pemba, pia ni Afisa ELimu Sekondari Pemba Suleiman Hamad Omar,
akizungumza na wanafunzi, walimu katika hafla ya kuwapongeza wanafunzi 64
waliofaulu mchipuo na vipawa, kutoka skuli zilizofanya vizuri ambazo
zinanufaika na miradi ya Milele hafala iliofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)
KAIMU Afisa Mdhamini Wizara ya Elimu na Mafunzo ya
Amali Pemba, pia ni Afisa ELimu Sekondari Pemba Suleiman Hamad Omar,
akimkabidhi Mkoba, mabuku na kampasi mwanafunzi Yassir Khator Nassan kutoka
Mnarani Makangale, ambaye amefanikiwa kupasi vipawa maalumu, hafla iliofanyika
mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN,PEMBA
BAADHI ya wanafunzi waliofaulu na kupasi michipuo na
Vipawa , kutoka skuli ambazo zinanufaika na miradi ya Milele zanzibar, wakiwa
na mikoba hiyo baada ya kukabidhia na taasisi hiyo hafla iliofanyika mjini
Chake Chake.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN,PEMBA
BAADHI ya wanafunzi waliofaulu na kupasi michipuo na
Vipawa , kutoka skuli ambazo zinanufaika na miradi ya Milele zanzibar, wakiwa
na mikoba hiyo baada ya kukabidhia na taasisi hiyo hafla iliofanyika mjini
Chake Chake.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN,PEMBA
No comments:
Post a Comment