Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo (kulia) akimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar) Dkt. Abdallah Juma Saadalla (Mabodi) mara baada ya kufika nyumbani kwake Chukwani,Unguja na kumfariji baada ya mtoto wake Rubani Ashraf Abdallah Juma kupata ajali ya na ndege nchini Comoro mwishoni mwa mwezi februari,2022. (Picha na CCM Makao Makuu)
WANAFUNZI WA KIKE MBEYA NA DODOMA WATEMBELEA KITUO CHA KUTUNZA TAARIFA ZA KAMPUNI YA VODACOM TANZANIA PLC
-
Meneja Matengenezo kituo cha kutunza taarifa cha kampuni ya Vodacom
Tanzania mkoani Dodoma, Mhandisi Josiah Kizinda akitoa ufafanuzi namna
mitambo i...
12 minutes ago
No comments:
Post a Comment