RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na
Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said,
Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya TCB.Bw.Edmund Mndolwa na
Mkurugenzi Mtendaji wa (TCB) Bw, Sabasaba Moshingi na Mkuu wa Wilaya ya Mjini Bw.Rashid
Simai Msaraka,alipowasiliu katika viwanja vya Hoteli ya Golden Tulip
Kiembesamaki kwa ajili ya ufunguzi wa Kongamano la Wanawake lililoandaliwa na
Benki ya Biashara Tanzania (TCB) katika ukumbi wa hoteli hiyo leo 5-2-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akitembelea maonesho ya Wajasiriamali
Wanawake wakati wa Ufunguzi wa Kongamano la Wanawake Zanzibar lililoandaliwa na
Benki ya Biashara Tanzania.(TCB) katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip
Kiembesamaki Jijini Zanzibar leo 5-3-2022 (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa
Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu
Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Wazee Jinsia na Watoto Zanzibar Mhe. Nassor
Ahmed Mazrui na (kulia kwa Rais ) Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya
TCB.Bw.Edmund Mndolwa, wakimsikiliza Mjasiriamali wa Kikundi cha Zaidat Product cha Chukwani Zanzibar.Bi. Tatu Suleiman
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akitembelea maonesho ya Wajasiriamali
Wanawake wakati wa Ufunguzi wa Kongamano la Wanawake Zanzibar lililoandaliwa na
Benki ya Biashara Tanzania.(TCB) katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip
Kiembesamaki Jijini Zanzibar leo 5-3-2022 (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa
Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu
Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Wazee Jinsia na Watoto Zanzibar Mhe. Nassor
Ahmed Mazrui na (kulia kwa Rais ) Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya
TCB.Bw.Edmund Mndolwa.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi,akimsikiliza Mkufunzi Kikundi cha Watu
Wenye Ulemavu Zanzibar Bi. Njuma Ali,wakati akitembelea maonesho ya
Wajasiriamali Wanawake wakati wa Ufunguzi wa Kongamano la Wanawake Zanzibar lililoandaliwa
na Benki ya Biashara Tanzania.(TCB) katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip
Kiembesamaki Jijini Zanzibar leo 5-3-2022 (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa
Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu
Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na (kulia kwa Rais ) Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi
wa Benki ya TCB.Bw.Edmund MndolwaMkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB )Bw.Sabasaba Moshingi akizungumza wakati
wa ufunguzi wa Kongamano la Wanawake Zanzibar lililoandaliwa na
Benki ya Biashara Tanzania (TCB) katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip
Kiembesamaki Jijini Zanzibar, akieleza huduma zinazotolewa na Benki hiyo wakati wa ufunguzi wa Kongamano hilo leo.
MWENYEKITI wa Bodi ya
Wakurugenzi wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB )Bw.Edmund Mndolwa akizungumza wakati
wa ufunguzi wa Kongamano la Wanawake Wajasiriamali Zanzibar lililoandaliwa na
Benki ya Biashara Tanzania (TCB) KATIKA ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip
Kiembesamaki Jijini Zanzibar, kabla ya kumkaribisha Mgeni rasmin RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kulifungua Kongamano hilo leo
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika
hafla ya Ufunguzi wa Kongamano la Wajasiriamali Wanawake Zanzibar lililoandaliwa na Benki ya Biashara Tanzania (TCB)
lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Kiembesamaki Jijini
Zanzibar leo 5-3-2022, lililowashirikia Wanawake Wajasiriamali wa Vikundi
mbalimbali vya Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika
hafla ya Ufunguzi wa Kongamano la Wajasiriamali Wanawake Zanzibar lililoandaliwa na Benki ya Biashara Tanzania (TCB)
lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Kiembesamaki Jijini
Zanzibar leo 5-3-2022, lililowashirikia Wanawake Wajasiriamali wa Vikundi
mbalimbali vya Zanzibar
WAKURUGENZI wa Benki
ya Biashara Tanzania (TCB) wakishangilia wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na
kulifungua Kongamano wa Wajasiriamali Wanawake Zanzibar lililoandaliwa na (TCB)
katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Kiembesamaki Jijini Zanzibar leo
5-3-2022 na kuwashirikia Wajasiriamali Wanawake wa Zanzibar.
WASHIRIKI wa
Kongamano la Wanawake Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa
ufunguzi wa Kongamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip
Kiembesamaki Kijiji Zanzibar, lililoandaliwa na Benki ya Biashara Tanzania(TCB)
Wafanyakazi wa Benki
ya Biashara Tanzania (TCB) wakishangilia wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na
kulifungua Kongamano wa Wajasiriamali Wanawake Zanzibar lililoandaliwa na (TCB)
katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Kiembesamaki Jijini Zanzibar leo
5-3-2022 na kuwashirikia Wajasiriamali Wanawake wa Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama
Mariam Mwinyi akifungua mlango kuashiria kulifungua Kongamano la Wanawake
Zanzibar na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara Tanzania Bw.
Edmund Mndolwa (kushoto) kongamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Golden
Tulip Kiembesamaki Jijini Zanzibar lililoandaliwa na (TCB)
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama
Mariam Mwinyi akifungua mlango kuashiria kulifungua Kongamano la Wanawake
Zanzibar na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara Tanzania Bw.
Edmund Mndolwa (kushoto) kongamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Golden
Tulip Kiembesamaki Jijini Zanzibar lililoandaliwa na (TCB)
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi
maalum ya picha ya kuchora na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya
Biashara Tanzania (TCB) Bw. Edmund Mndolwa, baada ya ufunguzi wa Kongamano la
Wanawake Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Kiembesamaki Jijini
Zanzibar leo 5-3-2022, na (kulia kwa Rais) Waziri wa Afrya na Ustawi wa Jamii
Wazee Jinsia na Watoto Zanzibar Mhe Nassor Ahmed Mazrui . Mkurugenzi Mtendaji
wa (TCB) Bw. Sabasaba Moshingi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Mhandisi Zena Ahmed
Said
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi ambae pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar
Maisha Bora Foundation (ZMBF) akikabidhiwa hundi na Mkurugenzi Mtendaji wa
Benki ya Biashara Tanzania (TCB) Bw. Sabasaba Moshingi,wakati wa ufunguzi wa
Kongamano la Wanawake Zanzibar lililofunguliwa na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia kwa Mama) na
(kushoto kwa Mama) Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa TCB Bw. Edmund Mndolwa
RAIS wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi hundi Kiongozi wa
Kikundi cha Wajasiriamali cha Chaza Mpya wakati wa ufunguzi wa Kongamano la
Wanawake Zanzibar, lililoandaliwa na Benki ya Biashara Tanzania (TCB) lililofanyika
katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Kiembesamaki Jijini Zanzibar leo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Kadi ya Akaunti yake ya Benki ya Biashara Tanzania (TCB) baada ya kulifungua Kongamano wa Wanawake Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Kiembesamaki Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment