OFISA Elimu kwa Walipa Kodi TRA-Zanzibar
Dr.Shuweikha S. Khalfan, akiwasilisha mada ya Kodi ya Mapato yatokanayo na
ukodishaji wa Nyumba/Ardhi, kwa wafanya biashara mbali mbali Kisiwani Pemba,
hafla iliyofanyika mjini Chake Chake.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
OFISA Elimu kwa Walipa Kodi TRA-Zanzibar Dr.Shuweikha S. Khalfan, akiwasilisha mada ya Kodi ya Mapato yatokanayo na ukodishaji wa Nyumba/Ardhi, kwa wafanya biashara mbali mbali Kisiwani Pemba, hafla iliyofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MFANYABIASHARA Mjini Chake Chake Pemba Rabia Omar
Said, akitoa maoni yake katika mkutano wa wafanyabiashara na TRA Pemba, juu ya
kodi ya Mapato yatokanayo na Ukodishaji wa Nyumb/Ardhi, hafla iliyofanyika mjini
Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA)
BAADHI ya wafanyabiashara kutoka mji wa Chake Chake
wakifuatilia kwa makini mkutano wao na TRA Pemba, juu ya kodi ya Mapato
yatokanayo na ukodishaji wa Nyumba/Ardhi, hafla iliyofanyika Mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment