RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwaaga Mahujaji
Watarajiwa wa Zanzibar wanaotarajiwa kuondoa Nchini hivi karibuni kuelekea
Nchini Saudi Arabia (Makka) kwa ajili ya kutimiza nguzo Tano ya Kiislamu kwa
Ibada ya Hija, hafla hiyo ya kuwaaga iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar
Mazizini Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 18-6-2022.
BAADHI ya Mahujaji Watarajiwa wa Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani)
akizungumza na kuwaaga wakijianda kuelekea Nchi Saudi Arabia ( Makka) kwa ajili
ya kutimiza nguzo Tano ya Kiislam ya Ibaada ya Hija, hafla hiyo iliyofanyika
katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Unguja leo 18-6-2022
BAADHI ya Mahujaji Watarajiwa wa Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani)
akizungumza na kuwaaga wakijianda kuelekea Nchi Saudi Arabia ( Makka) kwa ajili
ya kutimiza nguzo Tano ya Kiislam ya Ibaada ya Hija, hafla hiyo iliyofanyika
katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Unguja leo 18-6-2022
BAADHI ya Mahujaji Watarajiwa wa Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani)
akizungumza na kuwaaga wakijianda kuelekea Nchi Saudi Arabia ( Makka) kwa ajili
ya kutimiza nguzo Tano ya Kiislam ya Ibaada ya Hija, hafla hiyo iliyofanyika
katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Unguja leo 18-6-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa
Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi (kushoto kwa Rais) baada ya kumaliza kuzungumza
na kuwaaga Mahujaji Wataraji wanaojiendaa kuelekea Nchini Saudi Arabia (Makka) kwa
ajili ya Hija, hafla hiyo iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini
Unguja leo 18-6-2022 na (kulia kwa Rais) Waziri wa Katiba Sheria,Utumishi na
Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasalimia na kuwaaga baadhi ya
Mahujaji Watarajiwa wa Zanzibar wanaotarajiwa kuondoka Nchi wiki ijayo kuelekea
Nchini Saudi Arabia (Makka) kwa ajili ya Hija, hafla hiyo ya kuwaaga
iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Unguja leo 18-6-2022.
No comments:
Post a Comment