Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
leo tarehe 6 Julai 2022 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
Dar es salaam,akiagana na Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango kabla ya
kuondoka kuelekea Dakar nchini Senegal kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za
Afrika zinazonufaika na Jumuiya ya Maendeleo ya Kimataifa (IDA Summit for
Africa).
SHULE ZA MSINGI 3 KUJENGWA LUDEWA
-
Na. Damian Kunambi, Njombe.
Kutokana na baadhi ya wananchi wilayani Ludewa mkoani Njombe kuishi katika
maeneo ya pembezoni na kupelekea watoto kutembea ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment