Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
leo tarehe 6 Julai 2022 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
Dar es salaam,akiagana na Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango kabla ya
kuondoka kuelekea Dakar nchini Senegal kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za
Afrika zinazonufaika na Jumuiya ya Maendeleo ya Kimataifa (IDA Summit for
Africa).
DKT. NCHIMBI AWANADI WAGOMBEA UBUNGE, MADIWANI WA SIMIYU KWA WANANCHI
-
MGOMBEA mwenza wa kiti cha urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi
(CCM),Balozi Dkt.Emmanuel John Nchimbi amepokelewa kwa shangwe na wananchi
alipokuwa aki...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment