Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan leo tarehe 6 Julai 2022 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es salaam,akiagana na Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango kabla ya kuondoka kuelekea Dakar nchini Senegal kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika zinazonufaika na Jumuiya ya Maendeleo ya Kimataifa (IDA Summit for Africa).
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment