Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan
leo tarehe 6 Julai 2022 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
Dar es salaam,akiagana na Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango kabla ya
kuondoka kuelekea Dakar nchini Senegal kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za
Afrika zinazonufaika na Jumuiya ya Maendeleo ya Kimataifa (IDA Summit for
Africa).
MBUNGE KAWAWA AKABIDHI DAWA NA VIFAA TIBA VYA MILIONI 14.5 ZAHANATI YA
LUANGANO
-
Mbunge wa Jimbo la Namtumbo mkoani Ruvuma, Vitta Rashid Kawawa, amekabidhi
dawa na vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 14.5 kwa Zahanati ya
Luan...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment