Waziri
wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye akikata utepe
kuashiria kuzindua Huduma za Mawasiliano ya Intaneti kupitia Mkongo wa Taifa wa
Mawasiliano katika kituo cha Horombo kilichopo katika Mlima Kilimanjaro
Waziri
wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye akiongea wakati
wa Ghafla ya Uzinduzi wa Huduma za Mawasiliano ya Intaneti kupitia Mkongo wa
Taifa wa Mawasiliano katika kituo cha Horombo kilichopo katika Mlima Kilimanjaro
Waziri
wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye akishiriki
mkutano kupitia njia ya video na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. John Mongela baada
ya kuzindua Huduma za Mawasiliano ya Intaneti kupitia Mkongo wa Taifa wa
Mawasiliano katika kituo cha Horombo kilichopo katika Mlima Kilimanjaro
No comments:
Post a Comment