WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri Mkuu wa Japan Fumio Kishida kwa njia ya mitandao kwenye ukumbi wa Palais des Congres, jijini Tunis, Tunisia Agosti 27, 2022. Mheshimiwa Majaliwa amemshukuru Waziri Mkuu wa Japan kwa misaada ambayo nchi yake inaipatia Tanzania ili kuleta unafuu kwenye maisha ya Watanzania. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Rais Samia azindua Programu ya Kilimo cha Mashamba makubwa ya pamoja Chinangali Mkoani Dodoma
-
RAIS Mhe. Samia Suluhu Hassan azindua Programu ya Kilimo cha Mashamba
makubwa ya pamoja (Block Farming) Chinangali Mkoani Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muunga...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment