MJUMBE
wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Abdalla Juma Sadala (Mabodi) na Viongozi
wa CCM alipowasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya
Mjini Unguja kuhudhuria Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM
Zanzibar, kilichofanyika leo 20-10-2022, katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM
Kisiwandui na kuongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed
Shein
MJUMBE
wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla akisalimiana na
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Abdalla Juma Sadala (Mabodi) na Viongozi
wa CCM alipowasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya
Mjini Unguja kuhudhuria Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM
Zanzibar, kilichofanyika leo 20-10-2022, katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM
Kisiwandui na kuongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed
Shein
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Abdalla Juma Sadala (Mabodi) na Viongozi
wa CCM alipowasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya
Mjini Unguja kuongoza Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM
Zanzibar, kilichofanyika leo 20-10-2022, katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM
Kisiwandui
MAKAMU
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein akiwa
katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Unguja, kuongozwa Kikao cha Kamati
Maalum cha Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika leo 20-10-2022 , na
(kulia ) Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Makamu wa
Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla
WAJUMBE
wa Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakiwa katika
ukumbi wa mkutano Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Unguja Wilaya ya Mjini leo 20-10-2022,kuhudhuria
Kikao hicho kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar
Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein
NAIBU
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Zanzibar Dkt.Abdalla Juma Sadala (Mabodi) akisoma
akenda za Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar, kabla ya
kufunguliwa kikao hicho kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar
Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM
Kisiwandui Unguja Wilaya ya Mjini leo 20-10-2022
MAKAMU
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe. Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza
na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, wakiwa
katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Unguja kabla ya kuaza kwa Kikao
cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika leo
20-10-2022 katika ukumbi huo
MAKAMU
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein,
akiongoza Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika
leo 20-10-2022, katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Unguja Wilaya ya
Mjini na (kulia) Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia
ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Hemed
Suleiman Abdulla
WAJUMBE
wa Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakiwa katika
ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Unguja Wilaya ya Mjini wakifuatilia
ufunguzi wa Kikao hicho kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, leo 20-10-2022
WAJUMBE
wa Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakiwa katika
ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Unguja Wilaya ya Mjini wakifuatilia
ufunguzi wa Kikao hicho kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, leo 20-10-2022
MAKAMU
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein,
akiongoza Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika
leo 20-10-2022, katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Unguja Wilaya ya
Mjini na (kulia) Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia
ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Hemed
Suleiman Abdulla.
No comments:
Post a Comment