MUONEKANO wa Kituo cha Tehama Bwefum kilichofunguliwa
leo 26-10-2022 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote Tanzania Bi. Joustine Tmashiba, wakati akitembelea Kituo cha Tehama baada ya kukifungua leo 26-10-2022, katika eneo la Bwefum Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment