Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi
mbalimbali kwenye ufunguzi wa Mkutano wa Ubunifu wa Afya Duniani (World
Innovation Summit for Health) unaofanyika Doha nchini Qatar
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na
viongozi wengine katika ufunguzi wa Mkutano wa Ubunifu wa Afya Duniani (World
Innovation Summit for Health) unaofanyika Doha nchini Qatar
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na
viongozi wengine katika ufunguzi wa Mkutano wa Ubunifu wa Afya Duniani (World
Innovation Summit for Health) unaofanyika Doha nchini Qatar tarehe 04 Oktoba,
2022.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment