WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Mhe.Jamal Kassim Ali akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dkt.Stergomena Tax,mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Waziri Ikulu Jijini Zanzibar leo 17-11-2022.(Picha na Ikulu)
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt.Stergomena Tax akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Mhe. Jamali Kassim Ali, alipofika Ofisini kwake kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Waziri Ikulu Jijini Zanzibar leo 17-11-2022.(Picha na Ikulu)
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Mhe.Jamal Kassim Ali akiagana na mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dkt. Stergomena Tax, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Waziri Ikulu Jijini Zanzibar leo 17-11-2022.(Picha na Ikulu)
Simbu takes Tanzania's first global title with marathon victory in Tokyo
-
Alphonce Felix Simbu made history on Monday (15), becoming the first
athlete from Tanzania to win a global title by claiming gold in the men's
ma...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment