WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Mhe.Jamal Kassim Ali akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dkt.Stergomena Tax,mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Waziri Ikulu Jijini Zanzibar leo 17-11-2022.(Picha na Ikulu)
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt.Stergomena Tax akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Mhe. Jamali Kassim Ali, alipofika Ofisini kwake kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Waziri Ikulu Jijini Zanzibar leo 17-11-2022.(Picha na Ikulu)
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Mhe.Jamal Kassim Ali akiagana na mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dkt. Stergomena Tax, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Waziri Ikulu Jijini Zanzibar leo 17-11-2022.(Picha na Ikulu)
TRA YAPONGEZA MCHANGO WA WALIPAKODI KATIKA MAENDELEO YA TAIFA
-
Songea – Ruvuma.
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa takribani asilimia 70 ya
bajeti kuu iliyopitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzani...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment