Habari za Punde

Hafla ya utiaji saini hati ya Makabidhiano ya Diko na Soko Kisasa la Malindi Zanzibar

Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar Suleiman Masoud Makame akizungumza na wafanyakazi katika makabidhiano ya utiyaji saini hati ya Diko na Soko Kisasa la malindi Zanzibar ghafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Afisi ya Zura Mjini Zanzibar.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi  Aboud Suleiman Jumbe na Mwakilishi wa kampuni ya Rinkai Nissan  kutoka Japan Mr.Nagao Hideshi wakitia saini hati ya makabidhiano ya Diko na Soko kisasa la Malindi Zanzibar ghafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Afisi ya Zura Mjini Zanzibar.
Mwakilishi wa kampuni ya Rinkai Nissan  kutoka Japan Mr.Nagao Hideshi akizungumza na wafanyakazi  kuhusu kukamilika kwa Diko la soko kwa  makabidhiano ya utiaji saini hati ya Diko na Soko Kisasa la Malindi Zanzibar, ghafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Afisi ya Zura Mjini Zanzibar.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi  Aboud Suleiman Jumbe akitoa maelezo mara baada ya utiaji saini hati ya Makubaliano ya Diko na Soko Kisasa la Malindi Zanzibar,ghafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Afisi ya Zura Mjini Zanzibar.
 Baadhi ya wafanyakazi waliyofika katika utiaji saini hati ya  Makabidhiano ya Diko na Soko Kisasa la Malindi Zanzibar ghafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Afisi ya Zura Mjini Zanzibar.

                         Picha na Miza Othman-Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.