RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akisani kitabu cha maombolezi kufuatilia kifo cha Rais Mstafu wa Jamhuri ya
Watu wa China Jiang Zemin,alipofika ubalozi wa Mdogo wa China uliopo Mazizini Jijini
Zanzibar leo 2-12-2022.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akisani kitabu cha maombolezi kufuatilia kifo cha Rais Mstafu wa Jamhuri ya
Watu wa China Jiang Zemin,alipofika ubalozi wa Mdogo wa China uliopo Mazizini
Jijini Zanzibar leo 2-12-2022, na aliyesimama Balozi Mdogo wa Jamhuri ya Watu
wa China aliopo Zanzibar Mhe. Zhang Zhisheng
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akizungumza na kuagana na Balozi Mdogo wa Jamhuri ya Watu wa China anayefanyika
Kazi zake Zanzibar Mhe. Zhang Zhisheng,baada ya kumaliza kusaini kitabu cha
maombelezi kufuatilia kifo cha Rais Mstafu wa Jamhuri ya Watu wa China Jiang
Zemin,utiaji wa saini umefanyika leo 2-12-2022 katika ubalozi mdogo wa China Mazizini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment