Meneja wa Shirika la Bima la Taifa Kanda ya Zanzibar Ndg.Khamis Msami akimkabidhi Fedha Taslimu shilingi Laki Tano Mchezaji Bora wa Michezo ya 17 ya Kombe la Mapinduzi Abdul Mahafudh Mohammed wa Timu ya Chipukizi kuibuka mchezaji Bora wa Mchezo huo kati ya Timu ya Chipukizi na Aigle Noir uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.Timu hizo zimetoka sare ya Bao 1--1.
HUYU NDIYE UGIN MKINGA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MADABA
-
Ruvuma.
Ugin Mkinga ni jina jipya lenye mvuto mkubwa katika anga ya siasa ya
Tanzania, hasa kwa wale wanaofuatilia mustakabali wa maendeleo ya Jimbo la ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment