Habari za Punde

Shirika la Bima la Taifa NIC Yakabidhi Zawadi kwa Mchezaji Bora wa Mchezo Kati ya Chipukizi na Aigle Noir.C.S.ya Burundi

Meneja wa Shirika la Bima la Taifa Kanda ya Zanzibar Ndg.Khamis Msami akimkabidhi Fedha Taslimu shilingi Laki Tano Mchezaji Bora wa Michezo ya 17 ya Kombe la Mapinduzi Abdul Mahafudh Mohammed  wa Timu ya Chipukizi kuibuka mchezaji Bora wa Mchezo huo kati ya Timu ya Chipukizi na Aigle Noir uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.Timu hizo zimetoka sare ya Bao 1--1.  

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.