Meneja wa Shirika la Bima la Taifa Kanda ya Zanzibar Ndg.Khamis Msami akimkabidhi Fedha Taslimu shilingi Laki Tano Mchezaji Bora wa Michezo ya 17 ya Kombe la Mapinduzi Abdul Mahafudh Mohammed wa Timu ya Chipukizi kuibuka mchezaji Bora wa Mchezo huo kati ya Timu ya Chipukizi na Aigle Noir uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.Timu hizo zimetoka sare ya Bao 1--1.
Meridianbet Yaungana na Diwani wa Kata Kufanya Usafi Africana
-
IKIWA ni Jumamosi nyingine ya kijanja, wakali wa ubashiri Meridianbet leo
hii wamefika Mbezi Africana pale Kituoni na kufanya zoezi la usafi. Lakini
pia l...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment