Meneja wa Shirika la Bima la Taifa Kanda ya Zanzibar Ndg.Khamis Msami akimkabidhi Fedha Taslimu shilingi Laki Tano Mchezaji Bora wa Michezo ya 17 ya Kombe la Mapinduzi Abdul Mahafudh Mohammed wa Timu ya Chipukizi kuibuka mchezaji Bora wa Mchezo huo kati ya Timu ya Chipukizi na Aigle Noir uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.Timu hizo zimetoka sare ya Bao 1--1.
Uzuri wa Tanzania Kupitia Sanaa, Vivo Energy Yazindua mashindano ya Awamu
ya pili kwa shule za Sekondari na Vyuo nchini
-
Wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika shule ya Sekondari Jangwani wakiwa
katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali waliofika shuleni kwaajili ya
uz...
48 minutes ago
No comments:
Post a Comment