Habari za Punde

Wanafunzi wa Skuli ya Msingi Wapendezesha Uzinduzi wa Mradi wa Kijana Nahodha Viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja

Wanafunzi wa Skuli ya Msingi Abdullatif na Mastura wakiwa katika vazi la asili la Zanzibar,  wakisoma utenzi maalum wa Uzinduzi wa Mradi wa Kijana Nahodha ukiwa chini ya Ufadhili wa USAID ya Marekani uzinduzi huo uliofanyika leo katika viwanja vya mpira Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo.22-2-2023. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwapongeza Wanafunzi Abdullatif na Mastura kwa usomaji wa utenzi maalum wa Uzinduzi wa Mradi wa Kijana Nahodha, uliofanyika leo 22-2-2023 katika viwanja vya mpira Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.