Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi leo baada ya ibada ya sala ya Ijumaa amemtembelea nyumbani kwake Bi.Khadija Abbas Rashid ambaye alishiriki katika tukio la kihistoria la kuchanganya udongo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar tarehe 26/4/1964 anayeishi Rahaleo, Mkoa wa Mjini Magharibi.
Wapeni watoto wenu mlo wa asubuhi kabla ya kwenda shule
-
Wazazi na walezi wameaswa kuhakikisha wanawapatia watoto wenye umri wa
kwenda shule mlo wa asubuhi kabla hawajaenda shule. Rai hiyo imetolewa na
Mkurugenzi...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment