Mchezaji wa Timu ya Zimamoto akijiandaa kumiliki mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar"PBZ Premier League 2023/2024, mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedung Wilaya ya Mjini Jijini Zanzibar wiki iliyopita. Timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1.
VIKUNDI 49 VYA WANAWAKE WAJASIRIAMALI MBULU MJI KUPATA MIKOPO YA MILIONI 168
-
Na Mwandishi wetu, Mbulu
VIKUNDI 49 vya wanawake wajasiriamali waliopo kwenye Halmashauri ya Mji wa
Mbulu Mkoani Manyara, wanatarajia kupatiwa mikopo ya S...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment