Mchezaji wa Timu ya Zimamoto akijiandaa kumiliki mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar"PBZ Premier League 2023/2024, mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedung Wilaya ya Mjini Jijini Zanzibar wiki iliyopita. Timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1.
GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment