Habari za Punde

Mchezaji wa Timu ya KVZ Akram Muhina Omar Aibuka Mchezaji Bora Katika Mchezo wa Kombe la Mapinduzi 2023/2024


    Mwakilishi wa Shirika la Bima la Taifa  Tanzania akimkabidhi zawadi Mchezaji Bora  wa mchezo wa Kombe la Mapinduzi 2023 kutoka Timu ya KVZ ya Zanzibar Akram Omar Muhina kwa kuibuka mchezaji bora katika mchezo Kati ya KVZ  na Jamhuri  mchezo uliofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Jijini Zanzibar Timu ya KVZ imeibuka na ushindi wa bao 2-0. 


* Mchezaji wa kwanza kufunga Goli Amani Complex 

* Mchezaji wa kwanza kufunga Goli kwenye Michuano ya Mapinduzi Cup 2023_2024 

* Mchezaji aliefunga Goli la mapema zaidi hadi sasa (Dk' 7)

* Mchezaji mdogo zaidi kufunga Goli Mapinduzi Cup 2023_2024 

* Mchezaji wa kwanza mzawa (Zanzibar, Tanzania) kufunga Goli Mapinduzi Cup 2023_2024. 

NB: 

Baada ya mchezo ameondoka na mzigo wa M1.7

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.