RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuweka Jiwe la Msingi la
Ujenzi wa Kituo cha Mabasi Kijangwani Wilaya ya Mjini Unguja, na (kushoto)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt.Saada Mkuya
Salum, ikiwa ni Shamrashamra za
Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,hafla hiyo
iliyofanyika leo 31-12-2023 katika viwanja vya Mradi huo kijangwani
MUONEKANO wa moja ya majengo katika Mradi wa ujenzi
wa Kituo cha Mabasi Kijangwani Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja,
lililowekewa Jiwe la Msingi la ujenzi wake leo 31-12-2023 na Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, ikiwa ni
shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mhandishi wa Kampuni ya M+M Architects
Co.Ltd Ismail Burhani Mvungi, akitowa maelezo ya michoro ya majengo ya Kituo
cha Mabasi Kijangwani Wilaya ya Mjini Unguja, wakati wa hafla ya uwekaji wa
Jiwe la Msingi la ujenzi huo leo 31-12-2023,ikiwa ni shamrashamra za
Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na (kulia kwa Rais)
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha
na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt.Saada Mkuya Salum na Mkuu wa Mkoa wa Mjini
Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Mustafa Kitwana na (kushoto kwa Rais) Mkurugenzi
Mwendeshaji wa (ZSSF) Ndg. Nassor Shaban.
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) Ndg. Nassor Shaban akizungumza na kutowa maelezo ya Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Mabasi Kijangwani wakati wa hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi huo leo 31-12-2023, ikiwa ni shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt.Saada Mkuya Salum akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kuzungumza na Wananchi katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la Mradi wa ujenzi wa Kituo cha Mabasi Kijangwani Wilaya ya Mjini Unguja leo 31-12-2023.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt.Saada Mkuya Salum akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kuzungumza na Wananchi katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la Mradi wa ujenzi wa Kituo cha Mabasi Kijangwani Wilaya ya Mjini Unguja leo 31-12-2023.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya uwekaji wa Jiwe
la Msingi la ujenzi wa Mradi wa Kituo cha Mabasi Kijangwani Wilaya ya Mjini
Unguja, ikiwa ni shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu
ya Zanzibar
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akifuatilia hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la ujenzi wa Mradi wa Kituo cha
Mabasi Kijanwani Wilaya ya Mjini Unguja leo 31-12-2023 na (kushoto kwake) Naibu
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Mgeni Hassan Juma na Mkuu wa Mkoa
wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa
VIONGOZI mbalimbali wa Serikali wakifuatilia
hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein
Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la
Msingi la Mradi wa ujenzi wa Kituo cha Mabasi Kijangwani Wilaya ya Mjini Unguja,
ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya
Zanzibar.
WAFANYAKAZI wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii
Zanzibar (ZSSF) wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla
ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Mradi wa ujenzi wa Kituo cha Mabasi Kijangwani
Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, ikiwa ni Shamrashamra za
Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
No comments:
Post a Comment