Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni Zanzibar Mhe Jamal Kassim Ali akikabidhiwa fomu ya usajili wa kuwa Mwanachama wa Taasisi ya Wahasibu Wakaguzi na Washauri elekezi wa Kodi (ZIAAT) akikabidhiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa CPA Ndg. Ame . Shadhil, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Jengo la Baraza la Wawakilishi Chukwani Zanzibar leo 20-2-2024.
Serikali inalaani vikali na kukemea tukio la kushambuliwa na kuumizwa
Katibu Mkuu wa TEC
-
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango
amesema Serikali inalaani vikali na kukemea tukio la kushambuliwa na
ku...
54 minutes ago
No comments:
Post a Comment