Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni Zanzibar Mhe Jamal Kassim Ali akikabidhiwa fomu ya usajili wa kuwa Mwanachama wa Taasisi ya Wahasibu Wakaguzi na Washauri elekezi wa Kodi (ZIAAT) akikabidhiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa CPA Ndg. Ame . Shadhil, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Jengo la Baraza la Wawakilishi Chukwani Zanzibar leo 20-2-2024.
HALMASHAURI YA JIJI LA DAR ES SALAAM YAKIMBIZA WAHUNI WOTE KWENYE MIRADI YA
SERIKALI
-
Halmashauri ya jiji la Dar es salaam imefuta mikataba yote ya ujenzi ambayo
imekuwa ikisuasua katika utekelezaji na kuisababishia halmashauri hasara
kubw...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment