Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni Zanzibar Mhe Jamal Kassim Ali akikabidhiwa fomu ya usajili wa kuwa Mwanachama wa Taasisi ya Wahasibu Wakaguzi na Washauri elekezi wa Kodi (ZIAAT) akikabidhiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa CPA Ndg. Ame . Shadhil, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Jengo la Baraza la Wawakilishi Chukwani Zanzibar leo 20-2-2024.
DKT MPANGO AIOMBA BENKI YA CRDB KUTOA ELIMU YA FEDHA AKIZINDUA TAWI BUHIGWE
-
Buhigwe. Tarehe 27 Agosti 2025: Akizindua tawi la Benki ya CRDB wilayani
Buhigwe pamoja na kupokea madarasa mawili ya shule ya sekondari, Makamu wa
Rais, ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment