Habari za Punde

Rais wa Zanzibar nav Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Atembelea Marikiti Kuu ya Darajani Unguja

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisaliana na Wananchi wakati akiwa katika ziara ya kutembelea Marikiti Kuu ya Darajani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 26-2-2024, na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Masoud Ali Mohammed.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea Marikiti Kuu ya Darajani katika Soko la Samaki, akiwa katika ziara yake katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja leo 26-2-2024 na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea Marikiti Kuu ya Darajani katika Soko la Samaki, akiwa katika ziara yake katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja leo 26-2-2024 na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea moja ya duka la bidhaa za vyakula katika Marikiti Kuu ya Darajani, akiwa katika ziara yake Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja leo 26-2-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi na Wafanyabiashara wa Marikiti Kuu Darajani Wilaya ya Mjini Unguja katika viwanja vya eneo hilo darajani baada ya kumaliza ziara yake katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja leo 26-2-2024, ya kutembelea Masoko ya Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
WANANCHI na Wafanyabiashara wa Marikiti Kuu Darajani Wilaya ya Mjini Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi na Wafanyabiashara wa Marikiti Kuu Darajani katika ziara yake katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja leo 26-2-2024
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.