Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip
Mpango akiifariji familia na waombolezaji mbalimbali kufuatia kifo cha Bi.
Doleta Minya kilichotokea tarehe 09 Julai 2024. Makamu wa Rais ametoa pole hizo
wakati alipoitembelea familia ya marehemu akiwa Kijiji Kasumo Wilaya ya Buhigwe
mkoani Kigoma tarehe 11 Julai 2024.
DKT. SERERA AVUTIWA NA USHIRIKI WA NEMC KWENYE MAONESHO YA IATF
-
Naibu Katibu Mkuu wa Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera amelipongeza
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa namna
ambavyo l...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment