MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifungwa Skafu na Kijana wa UVCCM Abdulnassir Simba
Kitwana, alipowasili katika viwanja vya ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein Tunguu
SUZA Wilaya ya Kati Unguja,kuhudhuria Mahafali ya Tatu ya Wanafunzi wa Seneti
ya Vyuo na Vyuo Vikuu Zanzibar, yaliyofanyika leo 28-9-2024 katika ukumbi huo
MANISPAA YA UBUNGO YATENGA MILIONI 28 KWA AJILI UTEKELEZAJI WA PJT-MMMAM
-
NA MWANDISHI WETU
MANISPAA ya Ubungo imetengea bajeti ya fedha zaidi ya Sh milioni 28,000,000
kwa ajili ya utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Malezi, Maku...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment