Habari za Punde

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Hahutubia Mahafali ya Tatu ya Wanafunzi wa Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu Zanzibar Ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu leo

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifungwa Skafu na Kijana wa UVCCM Abdulnassir Simba Kitwana, alipowasili katika viwanja vya ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein Tunguu SUZA Wilaya ya Kati Unguja,kuhudhuria Mahafali ya Tatu ya Wanafunzi wa Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu Zanzibar, yaliyofanyika leo 28-9-2024 katika ukumbi huo

















 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.