MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifungwa Skafu na Kijana wa UVCCM Abdulnassir Simba
Kitwana, alipowasili katika viwanja vya ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein Tunguu
SUZA Wilaya ya Kati Unguja,kuhudhuria Mahafali ya Tatu ya Wanafunzi wa Seneti
ya Vyuo na Vyuo Vikuu Zanzibar, yaliyofanyika leo 28-9-2024 katika ukumbi huo
Mapato yasiyo ya kodi yafikia asilimia 67, OMH yadhamiria kufikia lengo la
mwaka
-
Serikali, kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH), imeendelea kuonesha
mafanikio makubwa katika ukusanyaji wa mapato yasiyo ya kodi, baada ya
kukusanya S...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment