MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifungwa Skafu na Kijana wa UVCCM Abdulnassir Simba
Kitwana, alipowasili katika viwanja vya ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein Tunguu
SUZA Wilaya ya Kati Unguja,kuhudhuria Mahafali ya Tatu ya Wanafunzi wa Seneti
ya Vyuo na Vyuo Vikuu Zanzibar, yaliyofanyika leo 28-9-2024 katika ukumbi huo
DKT. TULIA ACKSON AACHIA MBIO ZA USPIKA WA BUNGE LA TANZANIA
-
Dkt.Tulia Ackson ametangaza kujiondoa rasmi katika kugombea nafasi ya
Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha
Mapinduzi (CCM...
5 hours ago


















No comments:
Post a Comment