Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Amezindua Meli ya Kwanza ya Makontena Bandari ya Mkoani Pemba leo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia kwa Rais) Mama Mariam Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla wakipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mradi wa Fumba Port Zanzibar Awadh Twalib Ali, michoro ya majengo inayotarajiwa kujengwa katika Bandari ya Mkoani Pemba, wakati wa Uzinduzi wa Meli ya Kwanza ya Makontena ya Amu 1 ya Kampuni ya Lamu Shipping Limited na Makabidhiano ya Bandari ya Mkoani, hafla hiyo iliyofanyika leo 30-9-2024 





















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.