RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia
kwa Rais) Mama Mariam Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla wakipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi
Mradi wa Fumba Port Zanzibar Awadh Twalib Ali, michoro ya majengo inayotarajiwa
kujengwa katika Bandari ya Mkoani Pemba, wakati wa Uzinduzi wa Meli ya Kwanza ya
Makontena ya Amu 1 ya Kampuni ya Lamu Shipping Limited na Makabidhiano ya
Bandari ya Mkoani, hafla hiyo iliyofanyika leo 30-9-2024
DKT. TULIA ACKSON AACHIA MBIO ZA USPIKA WA BUNGE LA TANZANIA
-
Dkt.Tulia Ackson ametangaza kujiondoa rasmi katika kugombea nafasi ya
Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha
Mapinduzi (CCM...
9 hours ago























No comments:
Post a Comment