RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia
kwa Rais) Mama Mariam Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla wakipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi
Mradi wa Fumba Port Zanzibar Awadh Twalib Ali, michoro ya majengo inayotarajiwa
kujengwa katika Bandari ya Mkoani Pemba, wakati wa Uzinduzi wa Meli ya Kwanza ya
Makontena ya Amu 1 ya Kampuni ya Lamu Shipping Limited na Makabidhiano ya
Bandari ya Mkoani, hafla hiyo iliyofanyika leo 30-9-2024
Mgodi wa Bulyanhulu mguu sawa kuukabili Ukimwi.
-
-Wapokea ushauri wa Kamati ya Bunge ya Afya
Na Mwandishi wetu,
Kahama. UONGOZI wa mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu uliopo wilaya ya Kahama
mkoani S...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment