Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amefungua Mradi wa Hoteli ya Kitalii Sukran Palace Michamvi Mkoa wa Kusini Unguja


 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Wawekezaji wa Mradi wa Hoteli ya Shukran Palace (MADA) alipowasili katika viwanja vya Hoteli hiyo Michamvi Mkoa wa Kusini Unguja, kwa ajili ya ufunguzi wa hoteli hiyo uliyofanyika leo 21-9-2024, na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Kazi,Uchumi na Uwekezaji Zanzibar Mhe. Shariff Ali Shariff.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kusini Unguja alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya Shukran Palace Michamvi, kwa ajili ya ufunguzi wa hoteli hiyo uliofanyika leo 21-9-2024.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Hoteli ya Shukran Palace Michamvi Mkoa wa Kusini Unguja na (kushoto) ni Muwekezaji wa Mradi huo Bi.Kiran Mhajan na familia yake, ufunguzi huo uliyofanyika leo 21-9-2024 na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Kazi,Uchumi na Uwekezaji Zanzibar Mhe.Shariff Ali Shariff na  Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Idrissa Mustafa Kitwana.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuifungua Hoteli ya Shukran Palace Michamvi Mkoa wa Kusini Unguja leo 21-9-2024, na (kushoto kwa Rais) Wawekezaji wa Mradi huo na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Afisi ya Rais,Kazi,Uchumi na Uwekezaji Zanzibar Mhe.Shariff Ali Shariff , Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said.


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Maua na Mtoto Gracious Dickson Kiweli, aliyendaliwa kwa ajili ya hafla hiyo ya ufunguzi wa Hoteli ya Shukran Palace Michamvi Mkoa wa Kusini Unguja, ufunguzi huo uliyofanyika leo 21-9-2024.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo ya Mradi wa Hoteli ya Shukran Palace Michamvi Mkoa wa Kusini Unguja,kutoka kwa muwekezaji wa mradi huo Tinu Mhajan (kushoto kwa Rais) ufunguzi huo uliofanyika leo 21-9-2024














RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuifungua Hoteli ya Shukran Palace Michamvi Mkoa wa Kusini Unguja, ufunguzi huo uliyofanyika leo 21-9-2024.


WAGENI waalikwa na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja wakifuatilia hafla ya ufunguzi wa Hoteli ya Shukran Palace Michamvi Mkoa wa Kusini Unguja, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuifungua hoteli hiyo ufunguzi huo uliyofanyika leo 21-9-2024









RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu ya mlango na Muwekezaji wa mradi wa Hoteli ya Palace Michamvi, Kiran Mhajan na (kushoto kwa Rais) Tinu Mhajan, baada ya kumalizika kwa hafla ya ufunguzi wa hoteli hiyo uliyofanyika leo 21-9-2024.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.