Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amemtembelea Mzee Haji Ussi Gavu Kijijini Kwao Michamvi Msuwakini

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Haji Ussi Haji Gavu Mwenyekiti Mstaafu wa  Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja, alipofika nyumbani kwake Kijiji cha Michamvi Msuwakini Wilaya ya Kusini Unguja, kumtembelea na kumjulia hali yake leo 21-9-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mwenyekiti Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja Haji Ussi Haji Gavu, alipofika nyumbani kwake Kijiji cha Michamvi Msuwakini Wilaya ya Kusini Unguja leo 21-9-2024, kumtembelea na kumjulia hali yake 

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.