Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Mwinyi Ashiriki Katika Dua Maalumu ya Kuwaombea Viongozi Wakuu wa Serikali Ikiyoandaliwa na Madrasa ya Msolopa Kilimani Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Viongozi mbalimbali wa Dini na Serikali, katika hafla ya Dua Maalumu ya kuwaombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, iliyoandaliwa na Chuo cha Msolopa Kilimani “Al Madrasat Swifat Nnabawiyyat Karimah Zanzibar” iliyofanyika katika viwanja vya madrasa hiyo jana 25-9-2024. 
































No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.