Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Ramadhan Bukini (kushoto) akitiliana saini na Mkurugenzi Mtendaji ZIPA Saleh Saad Mohamed Mkataba wa Mashirikiano ya Kikazi kati ya ZBC na ZIPA kwa Mwaka Mmoja katika hafla ya Uzinduzi wa Kampeni ya Mkono kwa Mkono Awamu ya Pili iliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Madinatul Bahr Mbweni Zanzibar. 
Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Ramadhan Bukini (Kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji ZIPA Saleh Saad Mohamed wakionesha Mkataba wa Mashirikiano ya Kikazi kati ya ZBC na ZIPA kwa Mwaka Mmoja katika hafla ya Uzinduzi wa Kampeni ya Mkono kwa Mkono Awamu ya Pili iliofanyika Ukumbi wa Hoteli ya Madinatul Bahr Mbweni Zanzibar.
Waziri wa Uchumi wa Bahari na Uvuvi Shaaban Ali Othman(Wapili kulia)akitoa hotuba ya Uzinduzi wa Kampeni ya Mkono kwa Mkono Awamu ya Pili hafla iliofanyika Ukumbi wa Hoteli ya Madinatul Bahr Mbweni Zanzibar.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Ndg. Salum Ramadhan Abdalla akitoa maelezo kuhusiana na Ushiriki wa Idara ya Habari Maelezo na Waandishi wa Habari katika Uzinduzi wa kampeni ya Mkono kwa Mkono Awamu ya Pili ni kuwapa Habari wananchi mbalimbali kuhusiana na Miradi ya Maendeleo inayofanyika, hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Madinatul Bahr Mbweni Zanzibar.
Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Ramadhan Bukini akisisitiza jambo wakati akimkaribisha Mgeni Rasmi katika hafla ya Uzinduzi wa Kampeni ya Mkono kwa Mkono Awamu ya Pili iliofanyika Ukumbi wa Hoteli ya Madinatul Bahr Mbweni Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.16-10-2024
No comments:
Post a Comment