Habari za Punde

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Ameongoza Kikao cha Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar Kisiwandui Zanzibar

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa CCM Zanzibar, alipowasiIi katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja kwa ajili ya kuongoza Kikao cha Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu CCM Zanzibar, kilichofanyika 14-1-2025 na (kushoto kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Mohammed Said Dimwa
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa CCM Zanzibar, alipowasiIi katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja kwa ajili ya kuongoza Kikao cha Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu CCM Zanzibar, kilichofanyika 14-1-2025
WAJUMBE wa Kamati Maalumu ya Halmashauru Kuu ya CCM Zanzibar, wakisoma makabrasha ya kikao kabla ya kuaza, kilichofanyika l14-1-2025, katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar, kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi



MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika ukumbi wa mkutano wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar kwa ajili ya kuongoza Kikao cha Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar, kilichofanyika 14-1-2025 na (kulia kwa Rais) Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na (kushoto kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Mohammed Said Dimwa


NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohammed Said Dimwa akisoma ajenda za Kikao cha Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar, kichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kilichofanyika 14-1-2025, katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza Kikao cha Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar, kilichofanyika 14-1-2025, katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.