Habari za Punde

Mkutano Maalum wa Chama Cha Mapinduzi Jijini DODOMA

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM pamoja na wageni mbalimbali  wakati akifunga mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete tarehe 19 Januari, 2025.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar  Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa Kuchaguliwa na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama hicho kuwa Wagombea Urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka huu. Katika mkutano huo Rais Dkt. Samia alipata kura za ndio 1924 sawa na asilimia 100 ya kura zote zilizopigwa. 

Shamrashamra za Wajumbe pamoja na wageni mbalimbali ndani ya ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma mara baada ya kutangazwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Mgombea Urais katika Uchaguzi utakaofanyika badae mwaka huu.



Shamrashamra za Wajumbe pamoja na wageni mbalimbali ndani ya ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma mara baada ya kutangazwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Mgombea Urais katika Uchaguzi utakaofanyika badae mwaka huu.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.