Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimpongeza Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Ndugu Stephen Wasira, mara baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Taifa uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 18 Januari, 2025.(PICHA NA CCM )
Aliyeongoza kura maoni Vunjo 2020, kumkabili tena Dkt. Kimei
-
Na Mwandishi Wetu, Moshi
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Enock Koola (35), ambaye aliongoza
katika kura za maoni katika kinyang’anyiro cha ubunge mwak...
7 minutes ago
No comments:
Post a Comment