Habari za Punde

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Akimpongeza Makamu Mwenyekiti CCM Bara Stephen Wasira

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimpongeza Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Ndugu Stephen Wasira, mara baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo katika  Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Taifa uliofanyika  katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 18 Januari, 2025.(PICHA NA CCM )

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.