Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimpongeza Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Ndugu Stephen Wasira, mara baada ya kuchaguliwa kushika nafasi hiyo katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Taifa uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 18 Januari, 2025.(PICHA NA CCM )
RC BABU "WAPO WATU WAMEKUWA WAKITUMIA FEDHA YA JAMUHURI VIBAYA"
-
NA WILLIUM PAUL, MOSHI.
MKUU wa mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amesema kuwa wapo baadhi ya
Wananchi wamekuwa wakitumia fedha ya Jamuhuri vibaya huku...
27 minutes ago
No comments:
Post a Comment