Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo kutoka kwa
Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba kwenye hafla ya Tuzo za Mlipakodi
Bora wa mwaka 2023/24 katika ukumbi wa The Super Dome, Masaki Jijini Dar
es Salaam tarehe 23 Januari, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Tuzo ya mlipa kodi binafsi
mwenye hadhi ya juu, Mmiliki wa Kampuni za Bakhresa Group, Said Salim Bakhresa
kwenye hafla iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome, Masaki Jijini
Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Tuzo ya mlipa kodi binafsi
mwenye hadhi ya juu, Mmiliki wa Kampuni za Bakhresa Group, Said Salim Bakhresa
kwenye hafla iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome, Masaki Jijini
Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Tuzo za Mlipakodi Bora wa
mwaka 2023/24 Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB Bi. Ruth Zaipuna kwenye hafla
iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome, Masaki Jijini Dar es
Salaam.
Viongozi pamoja na wageni
mbalimbali wakiwa kwenye hafla ya Tuzo za Mlipakodi Bora wa mwaka 2023/24
iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome, Masaki Jijini Dar es
Salaam.
Viongozi pamoja na wageni
mbalimbali wakiwa kwenye hafla ya Tuzo za Mlipakodi Bora wa mwaka 2023/24
iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome, Masaki Jijini Dar es
Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye hafla ya Tuzo za
Mlipakodi Bora wa mwaka 2023/24 iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome,
Masaki Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye hafla ya
Tuzo za Mlipakodi Bora wa mwaka 2023/24 katika ukumbi wa The Super Dome,
Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 23 Januari, 2025. 
Viongozi pamoja na wageni
mbalimbali wakiwa kwenye hafla ya Tuzo za Mlipakodi Bora wa mwaka 2023/24
iliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome, Masaki Jijini Dar es
Salaam.
No comments:
Post a Comment