Habari za Punde

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aanza Ziara ya kikazi Mkoani Tanga

Wananchi wa Mkata wakishangilia mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwasili katika uwanja wa Shule ya Msingi Mkata wilayani Handeni mkoani  Tanga tarehe 23 Februari, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Hospitali ya Halmashauri ya wilaya ya Handeni iliyopo Mkata mkoani Tanga tarehe 23 Februari, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria ufunguzi wa Hospitali ya Halmashauri ya wilaya ya Handeni iliyopo Mkata mkoani Tanga tarehe 23 Februari, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua Miundombinu ya Hospitali ya Halmashauri ya wilaya ya Handeni iliyopo Mkata mara baada ya hafla ya ufunguzi tarehe 23 Februari, 2025.









 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.