Habari za Punde

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Mpango Amefungua Mkutano wa Utalii wa Vyakula - ARUSHA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa wa Pili wa Umoja wa Mataifa wa Utalii wa Vyakula Barani Afrika unaofanyika Ukumbi wa Gran Melia Jijini Arusha. Tarehe 23 Aprili 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na Viongozi mbalimbali wakishiriki Mkutano wa wa Pili wa Umoja wa Mataifa wa Utalii wa Vyakula Barani Afrika unaofanyika Ukumbi wa Gran Melia Jijini Arusha. Tarehe 23 Aprili 2025.





 


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa wa Pili wa Umoja wa Mataifa wa Utalii wa Vyakula Barani Afrika unaofanyika Ukumbi wa Gran Melia Jijini Arusha. Tarehe 23 Aprili 2025

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.