Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Mgeni Rasmin Maadhimisho Kilele cha Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025 Viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja

 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Dunia Mei Mosi 2025, yaliyofanyika Mkoa wa Kusini Unguja katika viwanja vya Kizimkazi leo 1-5-2025.

WAFANYAKAZI wa Taasisi za Serikali na Binafsi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025, maadhimisho hayo yaliyofanyika katika Mkoa wa Kusini Unguja katika viwanja vya Kizimkazi leo 1-5-2025
WAFANYAKAZI wa Taasisi za Serikali na Binafsi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025, maadhimisho hayo yaliyofanyika katika Mkoa wa Kusini Unguja katika viwanja vya Kizimkazi leo 1-5-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Dunia Mei Mosi 2025, yaliyofanyika Mkoa wa Kusini Unguja katika viwanja vya Kizimkazi leo 1-5-2025



WAFANYAKAZI wa Taasisi za Serikali na Binafsi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025, maadhimisho hayo yaliyofanyika katika Mkoa wa Kusini Unguja katika viwanja vya Kizimkazi leo 1-5-2025

WAGENI waalikwa katika Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025, wakifuatilia maadhimisho hayo yaliyofanyika katika Viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-5-2025, wakati Rais wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika maadhimisho hayo yaliyofanyika leo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi na Cheti cha Mfanyakazi Bora kutoka Mamlaka ya Uhifadhi Mji Mkongwe Zanzibar Maryam Ali Hassan, wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025, yaliyoadhimishwa Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-5-2025, katika viwanja vya Kizimkazi.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi na Cheti cha Mfanyakazi Bora kutoka Afisi ya Rais Ikulu (Mhudumu) Khamis Ali Mikidadi,wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025, yaliyoadhimishwa Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-5-2025, katika viwanja vya Kizimkazi.

///RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Kombe la Ubingwa wa Michuano ya Mei Mosi 2025, Nahodha wa Timu ya Bandari Pemba Seif Ali Hamad,wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025, yaliyoadhimishwa Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-5-2025, katika viwanja vya Kizimkazi.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu ya Jahazi iliyotolewa na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja , akikabidhiwa na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud ,wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025, yaliyoadhimishwa Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-5-2025, katika viwanja vya Kizimkazi.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa TUZO maalumu na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Zanzibar Seif M. Seif,wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025, yaliyoadhimishwa Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-5-2025, katika viwanja vya Kizimkazi.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa TUZO maalumu na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi,Uchumi na Uwekezaji Zanzibar Mhe.Shariff Ali Shariff,wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025, yaliyoadhimishwa Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-5-2025, katika viwanja vya Kizimkazi


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.