Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Azungumza na Rais wa Msumbiji Mhe.Daniel Chapo Ikulu Zanzibar Akiwa Zanzibar kwa Ziara ya Kiserikali

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza Ujumbe wa Zanzibar katika mazungumzo rasmin na Ujumbe wa Msumbiji ukiongozwa na Rais wa Msumbiji Mhe.Daniel Chapo (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025, akiwa Zanzibar kwa ziara ya siku moja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza Ujumbe wa Zanzibar katika mazungumzo rasmin na Ujumbe wa Msumbiji ukiongozwa na Rais wa Msumbiji Mhe.Daniel Chapo (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025, akiwa Zanzibar kwa ziara ya siku moja
UJUMBE wa Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar wakati wa mazungumzo rasmin na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Rais wa Msumbiji Mhe. Daniel Chapo (hawapo pichani) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025
RAIS wa Msumbiji Mhe. Daniel Chapo akiongoza Ujumbe wa Msumbiji katika mazungumzo rasmin na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiongoza ujumbe wa Zanzibar, katika mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025, akiwa Zanzibar kwa ziara ya siku moja
UJUMBE wa Viongozi wa Msumbiji wakiwa katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar wakati wa mazungumzo rasmin na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Rais wa Msumbiji Mhe. Daniel Chapo (hawapo pichani) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025
UJUMBE wa Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar wakati wa mazungumzo rasmin na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Rais wa Msumbiji Mhe. Daniel Chapo (hawapo pichani) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza Ujumbe wa Zanzibar katika mazungumzo rasmin na Ujumbe wa Msumbiji ukiongozwa na Rais wa Msumbiji Mhe.Daniel Chapo (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025, akiwa Zanzibar kwa ziara ya siku moja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi maalumu ya picha ya mandhari ya Zanzibar, mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe.Daniel Chapo, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025, akiwa Zanzibar kwa ziara ya siku moja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu ya picha ikionesha ramani ya Msumbiji,na Rais wa Msumbiji Mhe.Daniel Chapo, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025, akiwa Zanzibar kwa ziara ya siku moja.







 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.