Habari za Punde

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa Amefungua Maadhimisho ya Siku ya Nyuki Duniani


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na  viongozi alipowasili kwenye viwanja vya Chinangali  jijini Dodoma  kufunga  Maadhimisho ya Siku ya Nyuki Dunaini , Mei 20, 2025.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na  viongozi alipowasili kwenye viwanja vya Chinangali  jijini Dodoma  kufunga  Maadhimisho ya Siku ya Nyuki Dunaini , Mei 20, 2025.

Wasanii wa kundi la Miso Misondo wakitumbuiza katika Maadhimisho ya Siku ya Nyuki Duniani kwenye viwanja vya Chinangali  jijini Dodoma, Mei 20, 2025. Mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza alipofunga Maadhimisho ya Siku ya Nyuki Duniani kwenye Viwanja vya Chinangali  jijini Dodoma, Mei 20, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.