Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi Amejumuika na Wananchi katika Maziko ya Marehemu Abdallah Bomba



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kutowa mkono wa pole kwa Wanafamilia wa Marehemu Abdallah Mohammed Bomba, alipowasili katika viwanja vya Masjid Mubarak Al Mazrui Mombasa Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, kwa ajili ya Sala ya Maiti, iliyofanyika katika masjid hiyo leo 11-6-2025 na kuzikwa katika makaburi ya Kwarara


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wanandugu wa Marehemu Abdallah Mohamed Bomba na Wananchi katika Sala ya Maiti, iliyoongozwa na Sheikh.Abdulazizi iliyofanyika katika Masjid Mubarak  Al Mazrui Mombasa Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 11-6-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wanandugu wa Marehemu Abdallah Mohamed Bomba na Wananchi katika kuitikia dua ya kumuombea marehemu baada ya kumalizika kwa Sala ya Maiti, ikisomwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Mahmoud Mussa Wadi, iliyofanyika katika Masjid Mubarak Al Mazrui Mombasa leo 11-6-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akitowa mkono wa pole kwa Familia ya Marehemu Abdallah Mohammed Bomba, baada ya kumalizika kwa Sala ya Maiti iliyofanyika katika Masjid Mubarak Al Mazrui Mombasa Wilaya ya Magharibi “B”Unguja leo 11-6-2025, na kuzikwa katika makaburi ya Kwarara
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Wananchi baada ya kumalizika kwa Sala ya Maiti ya Marehemu Abdallah Mohammed Bomba, iliyofanyika katika Masjid Mubarak Al Mazrui Mombasa Wilaya ya Magharibi “B”Unguja leo 11-6-2025, na kuzikwa katika makaburi ya Kwarara
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Wananchi baada ya kumalizika kwa Sala ya Maiti ya Marehemu Abdallah Mohammed Bomba, iliyofanyika katika Masjid Mubarak Al Mazrui Mombasa Wilaya ya Magharibi “B”Unguja leo 11-6-2025, na kuzikwa katika makaburi ya Kwarara
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.