Habari za Punde

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Rais wa Shirika la Fedha kwa ajili ya ujenzi la Korea (K-FINCO) Dkt. Eun -Jae Lee Ikulu Chamwino mkoani Dodoma

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Shirika la Fedha kwa ajili ya ujenzi la Korea (K-FINCO) Dkt. Eun-Jae Lee aliyeambatana na ujumbe wake Ikulu Chamwino mkoani Dodoma                        

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya Pamoja na Rais wa Shirika la Fedha kwa ajili ya ujenzi la Korea (K-FINCO) Dkt. Eun-Jae Lee, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 26 Julai, 2025.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.