Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimjulia hali Naibu Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Zanzibar ambae ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndugu Dr. Abdallah Juma Sadala (Mabodi) aliyelazwa kwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa Mkoani Dodoma. tarehe 22 Agosti 2025.
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki Kongamano la Amani kuelekea
Uchaguzi Mkuu wa 2025 Jijini Dar es Salaam.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa
Diamond...
47 minutes ago
No comments:
Post a Comment