Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewaongoza viongozi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na mamia ya wananchi katika maziko ya kaka yake, marehemu Abbas Ali Mwinyi, aliyefariki jana.
Maziko hayo yamefanyika leo tarehe 26 Septemba 2025, katika Kijiji cha Mangapwani, Mkoa wa Kaskazini Unguja.

No comments:
Post a Comment