Habari za Punde

MSHIKAKI HUO

MPANDA Vespa akiwa amepakia abiria zaidi ya mmoja kwa lugha ya sasa inaitwa mshikaki wakiwa bila ya helmet wakikata mitaa ya michezani, bila ya kujali usalama wao endapo kutatokea ajali.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.